Monday, June 6, 2011

WAKAZI WA MWANANYAMALA KWA KOPA WALALAMIKIA MAJI TAKA!

Baadhi ya wakazi wa Mwananyamala kwa Kopa jijini Dar es Salaam wameilalamikia kampuni iliyopewa zabuni ya kukarabati barabara katika mtaa wao kushindwa kufukia mashimo waliyoyachimba wakati wa ukarabati huo.
Wakizungumza na blogu hiki wakazi hao wamesema mkandarasi huyo alichimba mashimo barabarani ili kuweka kifusi lakini mpaka sasa haonekani na amesitisha zoezi hilo bila kutoa taarifa yoyote.

No comments:

Post a Comment