Monday, April 30, 2012

MWIGULU MGENI RASMI CHUO CHA UALIMU MAJOHE.

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Uchumi na Fedha, Mwigulu Nchemba akimkabidhi cheti cha umahiri wa hisabati, Agnes Myolele, wakati wa mahafali ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu daraja la IIIA, yaliyofanyika leo katika Chuo Cha Ualimu cha West Dar es Salaam, Majohe Rada, wilayani Ilala. Kulia ni Mkurugenzi wa chuo hicho Kenedy Makuza. Jumla ya wahitimu 98 walitunukiwa vyeti. (Picha na Bashir Nkoromo).

No comments:

Post a Comment