Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Dar es Salaam., ambapo alimtangaza mgombea wa CCM jimbo la Arumeru Mashariki kuwa ni Sioi Sumari. (Picha zote na Bashir Nkoromo). |
No comments:
Post a Comment