Friday, March 30, 2012

LOWASA AFUNIKA MKUTANO WA KAMPENI KIKATITI, ARUMERU LEP !

                              Mh. Lowasa akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Wilson Mukama.
                                           Maandamano ya waendesha Pikipiki katika Jimbo hilo.
                                             Maandamano ya waendesha Pikipiki katika Jimbo hilo.

Lowasa akiwasili katika viwanja vya Kikatiti, Jimbo la Arumeru Mashariki kwenye Mkutano wa Kampeni za Jimbo hilo.

Mgombea Ubunge Jimbo la Arumeru Mashariki wa Tiketi ya CCM,Sioi Sumari akisalimiana na Mkuu wa Majeshi Mstaafu,Jenerali Mirisho Sarakikya. 
                                                                    Morani wa Kimasai.

                                                                   Morani wa Kimasai.



                 Mh. Lowasa akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Arumeru Mashari,Sioi Sumari.

No comments:

Post a Comment