Friday, September 9, 2011

USIKU WA MAADHIMISHO YA MIAKA 189 YA UHURU WA BRAZIL!

ADDRESS BY AMBASSADOR FRANCISCO LUZ DURING THE OFFICIAL CEREMONY FOR THE CELEBRATION OF 189TH ANNIVERSARY OF THE INDEPENDENCE OF THE FEDERATIVE REPUBLIC OF BRAZIL

Balozi wa Brazil nchini Francisco Luz akihutubia wageni waalikwa katika Usiku wa Maadhimisho ya miaka 189 ya Uhuru wa nchi hiyo, Maadhimisho hayo yamefanyika Nyumbani kwa Balozi usiku wa kuamkia leo ambapo wageni mbalimbali walihudhuria wakiwemo Mabalozi na Viongozi wa Serikali ya Tanzania.
Wageni waalikwa wakifuatilia kwa makini risala ya Mhe. Balozi wa Brazil Francisco Luz wakati wa hafla ya maadhimisho ya miaka 189 ya Uhuru wa Brazil iliyofanyika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam.

Ulifika wakati wa kupiga picha za pamoja na kusalimiana kati ya maafisa Ubalozi na wageni mbalimbali.

                                         Baadhi ya wageni waalikwa wakibadilishana mawazo

Balozi wa Brazil nchini Mh. Francisco Luz akibadilishana mawazo wa wakilishi mbalimbali waliohudhuria hafla ya maadhimisho ya miaka 189 ya Uhuru wa nchi hiyo nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam ambapo alisisitiza ushirikiano wa dhati kati ya nchi hizi mbili.

Usiku mwema, Karibuni sana, Nifuraha kubwa kwangu na mke wangu kuwa nanyi usiku wa leo.
It is a great pleasure to have you all here today to celebrate the 189th anniversary of the independence of Brazil.
Last year was an auspicious and intense period of our bilateral relations, which culminated with the visit of President Lula da Silva to Tanzania in July and with Foreign Minister Membe's trip to Brazil in September. 2011 has been so far a year to consolidate the bilateral relations between Brazil and Tanzania. Most of the work was done to implement the cooperation agreements signed since 2008. To attain these goals, the Embassy’s staff was increased and we moved to bigger, better premises on Toure drive.

However, 2011 will also be a landmark in our bilateral relations because it will be remembered as the year Petrobras started exploring oil and gas deep off-shore in the continental shelf of Tanzania. Actually, I'm pleased to announce that on the 28th of August the drilling ship “Ocean Rig Poseidon” started its operations in the Mafia Basin.


Here I should make a parenthesis. Some days ago, invited by Petrobras, I had the pleasure to go to Mtwara to visit the logistics terminal at the port, the new company’s compound and VETA Training Centre. There, I saw Brazilian monitors training 48 Tanzanians to prepare them to work in mechanics and electricity related to the oil and gas industry. I think this is a very commendable initiative in which the Embassy is proud to be involved into.


Well, on behalf of the Brazilian Government, I would like to reiterate to Petrobras the best wishes of a successful campaign. I truly believe some important oil and gas findings will have a transforming effect in the Tanzanian economy and in the whole region.

No comments:

Post a Comment