Saturday, August 13, 2011

WAREMBO WA VODACOM MISS TANZANIA WATEMBELEA HIFADHI YA MIKUMI!


Warembo wanaoshiriki shindano la kumsaka Vodacom Miss Tanzania 2011, wakiwa katika bwawa la Viboko lililopo katika Hifadhi ya Wanyama pori Mikumi mkoani Morogoro jana wakati warembo hao walipotembelea hifadhi hiyo kujionea wanyama aina mbalimbali ikiwa ni sehemu ya ziara yao ya kutembelea vivutio vya utalii nchini kuhamasisha utalii wa ndani. (Picha na Mpigapicha wetu).

No comments:

Post a Comment