Monday, August 1, 2011

WADAU WA MJENGONI WALIVYOHAPPEN SERENGETI FIESTA 2011!

     Mdau Abdallah Kamelo wa pili kushoto akishow luv na wadau wakati wa Serengeti Fiesta 2011
            Ntibashima Edward katikati akiwa na wadau wengine ndani ya viwanja vya Leaders Club.
            Philip Mwihava kulia akihappen na wadau wa mjengoni wakati wa Serengeti Fiesta 2011.
         Jerome Risasi mwenye Tshirt ya Chelsea akiwa na wadau wenzake wa mjengoni Leaders.
     Jack Kombe akiwa na Mafans wake kwenye Serengeti Fiesta 2011 viwanja vya Leaders Club. 
       Ray wa Clouds TV akiwa na Soud Brown mwenye kofia wakishow luv Serengeti Fiesta 2011.
Jimmy Jam wa PB kulia akiwa na wadau wa mjengoni wakati wa Serengeti Fiesta 2011. Kiukweli ilihappen.

No comments:

Post a Comment