Thursday, April 26, 2012

NAPE AKUTANA NA UJUMBE WA WANAFUNZI KUTOKA MAREKANI


Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (kulia) akizungumza wakati wa kikao chake na Ujumbe wa wanafunzi kutoka Marekani waliotembelea Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba mjini Dar es Salaam, leo. Nape alijadili nao masuala mbalimbali ya siasa. Kushoto ni Kiongozi wa msafara huo, Jola Yoder kutoka Idara ya Sayansi ya Jamii, Chuo Kikuu cha Spokane, Marekani.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (kulia) akionyesha kijitabu cha Kilimo Kwanza' wakati wa kikao chake na Ujumbe wa wanafunzi kutoka Marekani waliotembelea Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba mjini Dar es Salaam, leo. Nape alijadili nao masuala mbalimbali ya siasa. Kushoto ni Kiongozi wa msafara huo, Jola Yoder kutoka Idara ya Sayansi ya Jamii, Chuo Kikuu cha Spokane, Marekani.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (kulia) akimkabidhi 'opener' za CCM Mkuu wa msafara wa Ujumbe wa wanafunzi kutoka Marekani, Jola Yoder kutoka Idara ya Sayansi ya Jamii, Chuo Kikuu cha Spokane, Marekani, baada ya mazungumzao na ujumbe huo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba mjini Dar es Salaam, leo. Nape alijadili nao masuala mbalimbali ya siasa.


Nape na Jola Yoder kutoka Idara ya Sayansi ya Jamii, Chuo Kikuu cha Spokane, Marekani, wakiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa wanafunzi kutoka Marekani baada ya mazungumzao na ujumbe huo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba mjini Dar es Salaam, leo. Nape alijadili nao masuala mbalimbali ya siasa.

No comments:

Post a Comment