Monday, December 5, 2011

VODACOM YAZINDUA KAMPENI YA SHARE AND SHARE!

Mkurugenzi rasilimali watu wa Vodacom Tanzania Stela Chiwango akimkabidhi mbuzi mmoja wa watoto yatima wa kituo cha Friends of Don Bosco kilichopo kimara jijini Dares Salaam wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Share and Care ambayo huwa inafanyika kila mwisho wa mwaka kwa ajili ya kuwasaidia mahitaji mbalimbali watoto yatima kuelekea msimu wa sikukuu ya krismas,Vodacom imetoa jumla ya msaada wa thamani ya shilingi Milioni hamsini katika kampeni hiyo,wanaoshuhudia ni wafanyakazi wa kampuni hiyo.
Ofisa Mkuu wa Masoko na Uhusioano wa Vodacom Tanzania akiongea jambo na Mkurugenzi rasilimali watu wa Vodacom Stela Chiwango pamoja na Mkuu wa kitengo cha Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Share and Care ambayo huwa inafanyika kila mwisho wa mwaka kwa ajili ya kuwasaidia mahitaji mbalimbali watoto yatima kuelekea msimu wa sikukuu ya krismas,Vodacom imetoa jumla ya msaada wa thamani ya shilingi Milioni hamsini katika kampeni hiyo.
Meneja wa kitengo cha m pesa kanda ya pwani wa Vodacom Tanzania Nabwike Kibona akimtayarishia chai Ramadhani Abdalah ambae ni mtoto yatima wa kituo cha Mwana Orphans Centre cha Vingunguti wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Share and Care ambayo huwa inafanyika kila mwisho wa mwaka kwa ajili ya kuwasaidia mahitaji mbalimbali watoto yatima kuelekea msimu wa sikukuu ya krismas,Vodacom imetoa jumla ya msaada wa thamani ya shilingi hamsini katika kampeni hiyo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakiwahudumia chakula baadhi ya watoto yatima wa vituo mbalimbalivya jijini Dares Salaam wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Share and Care ambayo huwa inafanyika kila mwisho wa mwaka kwa ajili ya kuwasaidia mahitaji mbalimbali watoto yatima kuelekea msimu wa sikukuu ya krismas,Vodacom imetoa jumla ya msaada wa thamani ya shilingi Milioni hamsini katika kampeni hiyo.
Watoto yatima wa kituo cha Friends of Don Bosco kilichopo kimara wakibeba msaada wa vitu mbalimbali vilivyotolewa na wafanyakazi wea Vodacom Tanzania wakati wa wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Share and Care ambayo huwa inafanyika kila mwisho wa mwaka kwa ajili ya kuwasaidia mahitaji mbalimbali watoto yatima kuelekea msimu wa sikukuu ya krismas,Vodacom imetoa jumla ya msaada wa thamani ya shilingi Milioni hamsini katika kampeni hiyo,wanaoshuhudia ni wafanyakazi wa kampuni hiyo kitengo cha huduma kwa wateja.
Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakiwa kwenye picha ya pamoja tayari kuelekea katika vituo mbalimbali vya watoto yatima vya jijini Dares Salaam mara baada ya uzinduzi rasmi wa kampeni ya Share and Care hapo jana ambayo huwa inafanyika kila mwisho wa mwaka kwa ajili ya kuwasaidia mahitaji mbalimbali watoto yatima kuelekea msimu wa sikukuu ya krismas,Vodacom imetoa jumla ya msaada wa thamani ya shilingi Milioni hamsini katika kampeni hiyo.

No comments:

Post a Comment